Inakuwa sasa Karibu hatuwa kazaa ambazo anaendelea kuzifanya Bwana Mulungula Mukamba JEAN-FORT ijapo yeye ni kiongozi wa timu la ED Mbila ya Kamituga ipatikanayo Kele.

Lakini kupitiya moyo wake muzuri anaendelea kuinuwa michezo wa Kandanda tarafani Mwenga na Kamituga kupitiya matendo yake mema ambayo anaendelea kuitenda kila leo hii.

Kupitiya hiyo roho yake aliweza kuwajiya kimusaada shirika la mchezo la kandanda ya KIBE aliweza wapa nyavu ama (filet) na Kikombe huko tarafani Mwenga ndani ya GFKI ambayo inakuwa shirika mpya la michezo tarafani Mwenga CFMW.

Iyi inakuwa kwajili ya kupanuwa michezo huko tarafani Mwenga, Kiongozi Mulungula Mukamba JEAN-FORT ametarajiya tena kufanya mengi Kuliko yaile ambayo Ili vijana wacheza kandanda wapasha kuonesha ujuzi wao.

Présidenti Mulungula Mukamba JEAN-FORT ni kiongozi ambaye anajaa upendo nana penda sana Kandanda ya Kamituga na Mwenga yote Nzima iendeleye mbele kupitiya michezo.

Hakukomeya Hapo analiendelea piya kusaidiya timu zimoja zimoja kipesa na vifaa vya michezo ya wachezaji huko mjini Kamituga.

Mulungula Mukamba JEAN-FORT kisha kutoka Mwenga na Kamituga towa musaada huko, atakuwa akijielejeza huko mjini Lugushwa ilikupana musaada kwa timu ya FC Kolo nao piya watafaidiya musaada wake Kiongozi Mulungula Mukamba JEAN-FORT.

Hii ndo upendo wa dhati kabisa ambao huu kiongozi anakuwa nayo tupate mtu mwengine kama huyu wapi ?

Patrigal Basimarha soka

Laisser un commentaire

Votre adresse e-mail ne sera pas publiée. Les champs obligatoires sont indiqués avec *